Jumatatu, 27 Mei 2013

BISHOP PIUS ERASTO IKONGO AOMBEA BUNGE LA TANZANIA


Askofu Pius Erasto Ikongo na Mwenyekiti wa Pentecoste Pastors Fellowship Taifa akiombea Bunge la Jamhuri la Muungano la Tanzania katika mkesha wa kuombea amani taifa la Tanzania ulioandaliwa na kanisa la RGC Tabata Chang'ombe katika ukumbi wa Karume PTA Tanzania siku ya tarehe 17.05.2013

Wa pili kutoka kushoto ni Askofu Pius Erasto Ikongo akiwa na watumishi wa Mungu wakati wa maombezi wa kuliombea Bunge la Taifa la Tanzania.












TANGAZO LA MKESHA WA KUOMBEA AMANI TANZANIA


Tangazo hili limetengezwa na Rumafrica



Mtume Nyaga akisoma Neno la Mungu

Wa pili kutoka kushoto ni mke wa Mtume Peter Nyaga






























 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni