Jumatatu, 27 Mei 2013

HUDUMA ZA ASKOFU PIUS ERASTO IKONGO AKIWA KATIKA HUDUMA MBALIMBALI


Askofu Pius Erasto Ikongo (kushoto) akimpongeza dada aliyeponywa na Bwana Yesu baada ya kuombewa na mtumishi wa Mungu katika mkutano uliofanyika Mwananyama kwa Kopa ulioandaliwa na TAG chini ya Askofu Rogate Swahi
Askofu Pius Erasto Ikongo akihubiri mkutano mkubwa katika viwanja vya Mashujaa mjini Moshi maelfu ya watu walifunguliwa na kupona
Kwaya ya TAG Kimara walipopata mwaliko wa kumwimbia Mungu katika Mkutano wa Injili uliyofanyika Milmanjaro Moshi Mjini.
Makao makuu ya Makanisa ya AG Duniani kwa hapa Tanzania ni TAG.
Askofu Pius E. Ikongo akiwa na Mtumishi mmoja wa Mungu kutoka Uganda wakiwa katika Kongamano kubwa Jiji Nairobi Kenya
Askofu Pius Ikongo akiwa na Askofu J.Kitavi  Jijini Nairobi Kenya.
Askofu P. Mwaura. Mmoja wa Wazee wa Injili hapa barani Africa akiwa na Mke wake Mama Bishop Mwaura. Wakwanza kutoka kushoto ni Askofu B.Bukuku wa Huduma ya Kweli Itakuweka HURU
Huu ni Umati mkubwa wa Watu waliofika katika Mkutano wa Neno la Mungu uliyofanyika katika Viwanja vya Mashujaa Mjini Moshi na Mungu alifanya Miujiza Mikubwa kupita kawaida baada ya Bishop Pius Ikongo Kuhubiri Neno la Mungu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni